mkongwe john kitime akimshikia vipaza sauti carolla kinasha wakati wa warsha ya wadau wa muziki bagamoyo. carolla ni mwanadada adimu katika tasnia ya muziki bongo. ndesanjo na da' mija mpooooo?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Michuzi, asante kwa picha hii. Carolla...acha tu. Nasikitika kuwa nchi yetu haifahamu vizuri kipaji na ujuzi wa dada yetu Carolla. Mara ya mwisho nilimsikiliza mwaka 2001 pale IFM kwenye mkutano mmoja...alitumbuiza na gitaa lake. Huwa akiimba ananikumbusha wanamuziki kama Makeba, Masuka, Kidjo, n.k. Tafadhali ukikutana naye mpe salamu.

    Carolla anajihusisha na mradi uitwao Women's Voice ambao unapatikana kwenye anuani hii: http://tinyurl.com/lvm2c

    Pia wanahitajika watu kuchangia kwenye ukurasa wake ulioko kwenye kamusi elezo ya Kiswahili. Ukurasa huo ni huu hapa:
    http://tinyurl.com/p5egs

    ReplyDelete
  2. Carolla Kinasha ni maneno ingine kabisa bado sijaona wa kumsimamisha naye.

    Ndesanjo usihofu tutajitahidi kuujaza ukurasa wake.

    Michuzi, ukipata simu yake basi tusaidie.

    ReplyDelete
  3. Asante NDESANJO kwa kunikumbusha mtaalamu mwingine Masuka!!

    ReplyDelete
  4. keep it up karolla kinasha,naamini kupitia web hii,wengi wa namna yako watahamasika, siku hizi hakuna kazi ya mwanaume, wote mzigoni tuu

    ReplyDelete
  5. Michuzi ahsante sana, ninakumbuka mbali sana ninapomuona dada Carola

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 06, 2006

    Mimi namkumbuka tulivyokuwa naye pale chuo kikuu maeneo ya Ubungo kwenye yale magorofa marefu. Ilikuwa kati ya mwaka 1985 na 1988 hivi, inawezekana wengi wenu mlikuwa hamjazaliwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...