MAREHEMU MASSAGA AWALI ALIKUWA MAKAO MAKUU YA SHIHATA JIJINI DAR NA BAADAYE MWAKA 1991 MASSAGA ALIACHA KAZI SHIHATA NA KUAJIRIWA NA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA CHA ARUSHA [AICC] KAMA MPIGA PICHA MKUU .
MUNGU AMWEKE MAHALI PEMA
PEPONI MAREHEMU BONIFACE MASSAGA-
AMEEN
Niliwahi kufanya kazi na marehemu Boniface Massaga nilipokuwa Mkurugenzi Mtendaji wa AICC 2002 hadi 2005. Habari za kifo chake kupitia blog hii zimenisikitisha, hatuna la kufanya zaidi ya kumwombea marehemu Mwenye Mungu Amlaze peponi. Amen. Aidha ninawapa pole zangu na za familia yangu wafiwa na familia ya ndugu yetu Boniface. Ninamuomba Mungu awape moyo wa subira na nguvu ya kuendelea na shughuli za maisha. Bwana alitoa na Bwana amechukua Jina lake lihimidiwe milele.
ReplyDeletePoleni sana wanafamilia na wakazi wa AICC Flats Kijenge kwa msiba huu mzito, Mungu awape moyo wa nguvu na subira.
ReplyDelete