Rais Jakaya Kikwete akitia saini kitabu cha wageni kabla ya Mama Salma Kikwete kufanya hivyo pia mara baada ya kuwasili leo katika banda la Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF) kwenye maonesho ya SabaSaba. Aliyesimama ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw William Erio
 Rais Jakaya Kikwete akiangalia video ya miradik ya  Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF) kwenye maonesho ya SabaSaba, kama anavyoelezwa na  Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw William Erio
 Rais Jakaya Kikwete  mara baada ya kutembela leo  banda la Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF) kwenye maonesho ya SabaSaba. Kishoto kwake ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Abdallah Kigoda na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw William Erio. Chini akiagwa baada ya kutembelea banda hilo nan kujionea na kusikia hatua kubwa za kimaendeleo zilizopigwa
Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw William Erio akitoa maelezo kwa Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete na baadaye kuwatembeza katika banda la mfuko huo wa mashirika ya umma kwenye maonesho ya SabaSaba leo 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...