Mavazi ya akina Ras Makunja wa enzi hizo na wa sasa unakutana nayo mlangoni
 Alama na aina ya vyeo
 Kitengo cha makosa ya kikatili na unyanyasaji kijinsia 
Mtaalamu wa forensic na DNA akifafanua mambo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 07, 2012

    Aya ni maonyesho ya biashara, kwani Polisi nao wanafanya biashara??

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 07, 2012

    hi!!!hi! hii picha ya kati si Kikamanda ketu Ras makunja akiwa katika mavazi ya muziki? Ras Makunja umependeza kweli kweli,

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 07, 2012

    Kung'oa meno bure msituni

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 07, 2012

    DNA ifanye kazi kujua waliomwadhibu Dr. Ulimboka!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 09, 2012

    Hee kumbe tuna wataalam wa forensic! Hasa mbona......, mmh.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 09, 2012

    Ikiwa Idara ya Polisi na Serikali inayo Tekinolojia hii ya DNA kwa nini isitumiwe kusajili Koo na Familia halali za Tanzania na kiungizwa ktk Mchakato wa Vitambulisho vya Taifa na Pasipoti ili kukabiliana na wimbi la Raia Haramu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...