Msanii wa muziki Judith Wambura maarufu kama Lady Jay Dee akiwa ameshikwa mikono kusaidiwa kushuka kutoka mlima Kilimanjaro aliko panda Jaanuary 8 mwaka huu na mumewe Gadner G Habash kwa lengo la kutangaza utalii wa ndani.
Mhifadhi mkuu wa mlima Kilimanjaro Erastus Lufungulo akimuongoza msanii Lady Jay Dee mara baada ya kushuka kutoka mlima Kilimanjaro,shoto mwa Jay dee ni mpiga picha wa JayDee,Bw Justine Bayo.
Mhifadhi mkuu (KINAPA)Erastus Lufungulo akimkabidhi cheti cha uthibitisho wa kufika kileleni msanii Lady Jay Dee.
Mhifadhi mkuu (KINAPA)Erastus Lufungulo akimkabidhi Gadner Habash cheti cha uthibitisho wa kufika kileleni Gadner G Habash.
Mhifadhi mkuu wa hifadhi ya mlima Kilimanjaro (KINAPA), Erastus Lufungulo akimkabidhi cheti Bw. Justin Bayo baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Uhuru.
Msanii Lady Jay Dee,mumewe Gadner na mpiga picha wao Justine wakimsikiliza kwa makini mhifadhi mkuu wa Mlima Kilimanjaro Erastus Lufunguro(hayupo pichani).
Mume wa msanii Lady Jay Dee aliyekuwa ameambatana nae katika safari hiyo ya siku tano Gadner G Habash akizungumza na waandishi wa habari (hawako pichani) mara baada ya kushuka katika lango kuu la Marangu.
Msanii Lady Jay dee akizungumza na wanahabari( hawapo pichani) mara baada ya kufanikiwa kushuka salama kutoka mlima Kilimanjaro.
Mhifadhi mkuu (KINAPA)Erastus Lufungulo akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumpoekea msanii Lady Jay Dee mara baada ya kushuka kutoka mlima Kilimanjaro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. HONGERA JD TUPE PICHA AKIWA KILELENI .

    ReplyDelete
  2. HONGERA LADY JD na mumeo.tupeni picha mkiwa kileleni

    ReplyDelete
  3. Hongera komando Jide

    ReplyDelete
  4. sasa kama huyo ndo mpiga picha wao nani alikuwa anapiga picha?

    ReplyDelete
  5. mkuu wa wilaya ya nanihii, mbona haujaweka picha za kuonyesha wamefika kileleni mwa mlima?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...