Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akikata utepe kulifungua Soko la Samaki Mazizini pwani,ikiwa ni mradi wa Tasaf alipokua katika ziara ya Wilaya ya Magharibi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mratibu wa Tasaf Unguja Shaaban Ali Abdulmalik,wakati alipofungua Soko la Samaki la Mazizini Pwani, ikiwa ni mradi wa Tasaf kupitia Macemp,alkiwa katika ziara ya Wilaya ya Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Rans CO LTD,inayoshuhukia ujenzi Nassor Salim Said,alipotembelea Kilimo cha Mboga mboga kinacholimwa na kampuni hiyo huko Kombeni Wilaya ya Magharibi alipokuwa katika ziara ya Mkoa wa Magharibi.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...