Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha la Pasaka kutoka Kampuni ya Msama Promotions Ltd,Bwa.Alex Msama,akizungumza mbele ya Wanahabari (hawapo pichani) ,mapema leo kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar kuhusiana na mchakato mzima wa tamasha la pasaka na kuwataja wasanii mbalimbali watakaotumbuiza kwenye tamasha hilo ambalo limekuwa liwavutia wengi,ambapo mwaka huu limebeba ujumbe wa kuhimiza suala la amani na utulivu katika nchi yetu,tamasha hilo linatarajia kufanyika Machi 31 ndani ya uwanja wa Taifa na baadae kufanyika kwenye mikoa mingine kama vile Mbeya,Dodoma,Mwanza na Iringa.Kumsikiliza zaidi bofya video hapa chini.
Home
Unlabelled
msama promotions yawataja wasanii watakaotumbuiza tamasha la pasaka .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...