Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania – TRL unawatangazia
abiria wote na wananchi kwa jumla kuwa
kutokana na sababu za kiufundi unasikitika kuwa treni ya abiria iliyopangwa
kuondoka leo Ijumaa Machi 15, 2013 saa 8:30 mchana imeahirishwa
hadi kesho Jumamosi Machi 16,
2013, saa 8:30 mchana.
Tafadhali atakayesikia tangazo hili amuarifu na mwenzake.
Uongozi wa TRL unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza..
Imetolewa
na Ofisi ya Uhusiano kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Mhandisi Elias
Mshana.
TRL Makao
Makuu,
Dar es
Salaam.
Machi 15,
2013
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...