Habari wadau
Anaitwa Edwin Moshi a.k.a Eddymoblaze.
Ni mwanalibeneke anayemiliki mtandao wa:
Anapenda kuchukua fursa hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kumfikisha salama siku ya leo Jumatano April 24 ambapo anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Kwa wanalibeneke wenzie anawashukuru kwa ushirikiano wao katika hili bila kusahau familia yake
Happy birthday Edwin Moshi!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...