Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Issa Machibya akizungumza na timu ya madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Taasisi ya Mifupa (MOI) mara baada ya kumalizika kwa zoezi la kuhudumia mamia ya wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni mkoani humo.
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhan Maneno akitoa neno la shukrani kwa kazi kubwa iliyofanywa na madaktari hao mpango ambao unatekelezwa na NHIF (Kutoka kulia kwake ni Dk. Vence wa MOI, Dk. Kisenge na Dk. Makia wa Muhimbili.
Mkurugenzi wa Tiba na Masuala ya Kiufundi, Dk. Frank Lekey akieleza namna kazi ya huduma kwa wagonjwa ilivyotekelezwa na madaktari hao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...