Wadau Kassian  Ernest  na Sabina Alexander  wakifurahia baada ya kumeremeta katika Ibada ya misa takatifu ya  ndoa yao iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Chang,ombe jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na mnuso wa nguvu  iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini . Bwana Harusi ni mwajiriwa katika Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo na Bi Harusi ni  mwajiriwa  katika Chuo cha Elimu ya Biashara CBE.
 Mdau Kassian  Ernest akimvisha pete mai waifu wake Sabina Alexander
 Maharusi katika mnuso
Pozi la nguvu la kumeremeta

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...