MWENYEKITI wa Jumuia ya kusafirisha mahujaji ya Ahludaawa akichangia katika mkutano wa kuimarisha huduma za usafiri kwa mahujaji ulioandaliwa na Kampuni ya ndege ya Yemenia uliofanyika katika Hoteli ya Tembo mjini Zanzibar.
MWENYEKITI wa Jumuia ya kusafirisha mahujaji ya Tawheed ,Tahir Ally akichangia katika mkutano wa kuimarisha huduma za usafiri kwa mahujaji ulioandaliwa na Kampuni ya ndege ya Yemenia uliofanyika katika Hoteli ya Tembo mjini Zanzibar.
MENEJA mauzo na masoko wa Kampuni ya Ndege ya Yemenia , Zeenat Manji Kassam akifafanua jambo kwa Viongozi wa taasisi mbali mbali za usafirishaji wa mahujaji Tanzania. Katikati Mwenyekiti wa taasisi hizo Tanzania , Ustadh Khalid Mohammed Mrisho na Katibu wa Bodi ya mahujaji Zanzibar, Dk.Slim Mohammed Mgeni. Mkutano huo wa kuimarisha huduma za usafiri kwa mahujaji ulifanyika katika Hoteli ya Tembo mjini Zanzibar leo.
MAKAMU Mwenyekiti wa Umoja wa Taasisi za Hijja Zanzibar (UTAHIZA), Khamis Yussuf akitoa mchango wake katika mkutano wa kuimarisha huduma za usafiri kwa mahujaji ulioandaliwa na Kampuni ya ndege ya Yemenia uliofanyika katika Hoteli ya Tembo mjini Zanzibar.Picha na Haroub Hussein

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2013

    Wasafirishaji wa mahujaji hawawalipi wasafiri mizigo yao inapopotea.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 02, 2013

    kila la kheri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...