Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo ya kifo cha Waziri wa zamani wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marehemu Alfred Tandau, nyubani kwa marehemu,Magomeni jijini Dar es salaam, Mei 2,2013.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumzana na mtoto wa kwanza wa Waziri wa Kwanza wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius Tandau wakati alipokwenda kuhani msiba wa Waziri huyo wa zamani aliyefariki dunia hivi karibuni, nyumbani kwa marehemu, Magomeni jijini Dar es salaam Mei 2, 2013. (Picha na Ofis ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...