Kaimu Katibu Tawala
Mkoa wa Arusha, Bw. Mwanga Ekzaudi ambaye ndio alikuwa mgeni rasmi katika
Semina hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi Bw. Constantine Mashoko akitoa hotuba ya kumkaribisha mgeni rasmi.
Wadau wa Semina hii wakisikiliza kwa makini hoja zilizokuwa zinatolewa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...