Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea fimbo ya Kitemi kutoka kwa Antonia Mipamo maarufu kwa jina la Tonisiza ambaye pia ni Mtemi Chigoku Masa wa Simiu baada ya kutawazwa muwa Mtemi wa Wasukuma wakati alipozindua sherehe za Utamaduni wa Wasukuma katika uwanja wa Bujora, Kisese jijini Mwanza Juni 2, 2013.
Baadhi ya watemi wa Kisukuma wakiingia kwenye Kituo cha Utamaduni wa kabila la Wasukuma cha Bujora kilichopo Kisesa Mwanza ambako sherehe za Utamaduni wa wasukuma maarufu kwa jina la Bulabo zilifanyika Juni 2, 2013.
Baadhi ya washiriki wa sherehe za umtamaduni wa Wasukuma maarufu kwa jina la Bulabo wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipohutubia alipozindua sherehe hizo kwene uwanja wa Bujora Kisesa jijini , Mwanza juni 2, 2013.
Ni vizuri sana kuwa na sherehe kama hizo kila mwaka baada ya mavuno.Mimi nilizaliwa na kuishi miaka 35 iliyopita.Je nitaweza kupata wapi hotuba za Kisukuma au ngoma za utamaduni wa kabila hilo. Hivi PM aliongea kwa lugha gani ktk sherehe hizo?
ReplyDeleteDuhhh Mila zenye faida tamu sana!
ReplyDeleteTutafurahi kuwaona vijana wa kisasa na visu vya viunoni huku wakiwa na Migolole badala ya kuvaa suruali za Modo.
Hubu ngalieni Waheshimiwa walivyopedneza na Majoho ya Kiasilia, kwa nini Mabrazameni na Masharo baro wetu vijana wasichukue mwenendo huo na badala yake kukurupukia Mambo ya Utamaduni na mila za nje?
Utaratibu huu wa Mila na Utamaduni ungefaa sana kuwepo ktk Mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania.
ReplyDelete