ANKAL PAMOJA NA TIMU NZIMA YA GLOBU YA JAMII INAKUTAKIA MFUNGO MWEMA WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI UNAOANZA RASMI LEO BAADA YA KUANDAMA KWA MWEZI. INSHAALLAH TUNATARAJIA KILA MUUMINI WA KIISLAMU ATAHITIMISHA NGUZO HII MUHIMU KWA SWALA NA MAAMRISHO YAKE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2013

    Timu ya Michuzi Bogu Spot Inshallah Mwnyezi awalipe kwa kazi yenu kubwa saana!

    Tunaomba Al Ustaadhi Ankal Michuzi tuwekee na Quran za kusikiliza humu jamvini kama ulivyofanya mwaka jana.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 10, 2013

    Amiiin Ramadan Kareem!

    Ankali ni wakati muafaka wa kikitoa Kibandiko chako ile Kofia yako nzuri ya Bargashia unayovaa kwenye Mfungo.

    Ni vema ukachukua na nafasi ya kuwa Mwadhini huku ukiwa umevaa Kofia yako hapo Misikiti wa Jirani na nyumbani kwako.

    Sasa unafikiri Ankali Thawabu za Mwenyezi kTK Mfungo wa Ramadhan zinapatikana bila kuzitumikia?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 11, 2013

    Mdau wa Pili umetoa Mchango mzuri!

    Tena akishakitoa Kibandiko chake sandukuni alichokiweka kutokea Ramadhani ya mwaka jana nafasi ya kuwa Mwadhini pia ni muhimu kwa Ankali.

    Ni kuwa hata kama atasafiri kwenda Majuu kikazi ndani ya kipindi hiki cha Mfungo HAKUNA WA KUKAIMU NAFASI YA UWADHINI YA ANKALI HAPO MASJID,

    KAMA UTASAFIRI YATAFANYIKA HAYA:

    1.TUTAKUREKODI ANKALI KWENYE TEPU AU CD IKIFIKA MUDA WA ADHANA TUNACHOMEKA CD ADHANA ORIGINAL YA ANKALI INASOMWA KWA NJIA YA CD.

    2.KAMA UTATUMIA UFUNDI WAKO WA LIBENEKE TUNAKURUHUSU UTOE ADHANA KUPITIA BLOGU SPOTI YA JAMII YA MICHUZI DIRECT KUTOKEA HUKO UTAKAKOKUWA DUNIANI, ISIPOKUWA UNATAKIWA UENDE NA MUDA WA TANZANIA NA VIPINDI VYETU VYA SWALA.

    Kazi kwako Mwadhini Ankali Michuzi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...