Huu ndo mjumba wa kifahari utakaoshinda kupitia droo ya mwisho wa mwezi Hii ni sehemu ya mbele ya Nyumba mojawapo ya AIRTEL YATOSHA Nyumba hizi zimejengwa kwa mpangilio maalum na wataalam kutoka shirika makini la nyumba Tanzania (National Housing Corporation) Mahali iliko ni Kigamboni Kibada wilaya ya Temeke General View ukiwa maeneo ya nyumba iliko Vitu vizuri unavyoweza kuviona ukiwa nyumbani kwako endapo utaibuka mshindi ni pamoja na Uwanja wa Taifa, uwanja wa ndege na utaweza kujione vizuri vikwangua anga vya jijini dar es salaam kama vile PPF Tower, Uhuru height, Jubilee Tower, Serena Hotel n.k Jiunge na kifurishi cha Airtel Yatosha SIKU, WIKI au MWEZI kwa kupiga *149*99# na chagua kifurushi kitakachokufaa ili uwe mmoja wa washindi watakaofaidika na nyumba hizi.
Nyumba zote Tatu zinavyumba vitatu vyakulala, Sebule, Jiko na Public toilet na Garden nzuriiiii/ kaliiiiii...... Mwishoni mwa waki wadau wa vyombo vya habari na baadhi ya Blog watatemebelea eneo hili kukujulisaha mambo mazuri zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2013

    according to the plan there is no kitchen.

    ReplyDelete
  2. Where is the Kitchen?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 10, 2013

    Kitchen, behind the dinning room , you can see like small corner.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 11, 2013

    mjengo wa kizamani. jiko liko uwani

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 11, 2013

    Unapikia wapi? Nje?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 11, 2013

    poor design, no kitchen bwana

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 11, 2013

    Uzuri wa nyumba choo, jiko utakula kwa mama ntilie!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...