Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred (kulia) akipokea hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 4.1 kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Susan Omari jijini Dar es Salaam jana. Fedha hizo ni kwaajili ya ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) linalojengwa katika shule ya Msingi Buhangija mkoani Shinyanga. Fedha hizo ni maalum kwaajili ya kununulia mabati ya kuezekea bweni hilo.  Kwa mujibu wa Brigitte zaidi ya Shilingi milioni 60 zinahitajika kukamilisha ujenzi huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Al MusomaJuly 10, 2013

    Unless I am missing something,there should never be separate dormitories for such children! Could someone please explain this seemingly "positive discrimination" to me?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 10, 2013

    Nakuunga mkono Brigitte kwa uamuzi mzuri wa kuwajali watoto hawa wa Buhangija Albino's Centre. Natoa wito kwa watanzania wenzangu mlioko ndani na nje ya nchi kuchangia jitihata za binti huyu mwenye moyo wa pekee.

    Haya shime wana Buhangija, Shinyanga na watanzania wote kwa ujumla. Msaada wetu unahitajika sana ktk kuendeleza kituo hiki muhimu kwa watoto wetu wenye mahitaji haya.

    Mkereketwa wa Buhangija Albino's Centre.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...