Rais
Barack Obama wa Marekani ameondoka nchini mchana huu kurudi nchini Marekani,baada ya kumaliza
ziara yake ya siku mbili hapa nchini iliyoanza jana.Rais Obama na mwenyezi wake Rais
Jakaya Kikwete, leo walifanya ziara ya kutembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion
iliopo Ubungo jijini Dar es Salaam ambako Rais Obama alizindua rasmi mpango wa nchi yake kusaidia upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa nchi saba za Afrika, ikiwemo Tanzania.
PICHA ZA MATUKIO MBALI MBALI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO
Asante Ankal mana wadau Diaspora tunazisubiri picha na video clips kwa hamu.
ReplyDeleteMAM
TUWEKEE SASA
ReplyDeleteMDAU -CM
Michuzi nadhani muda umefika inabidi uwafukuze kazi baadhi ya wafanyakazi wako kwa matumizi mabaya ya lugha. Utasemaje Rais obama wa marekani? kwani kuna Rais obama wa nchi nyengine duniani? Kiswahilisanifu ni ama rais obama au rais wa marekani full stop.
ReplyDeleteAnasahihisha kiswahili, huku anaandika "nchi nyengine".
ReplyDeleteKazi ipo.
Ziara imeenda vizuri ila mbona hizo barabara zetu zina mchanga mwingi, mameya hamuwezi kuweka usafi na kuondoa huo mchanga? JK amejitahidi sana ila mji bado mchafu. Jitahidini wahusika kurekebisha mji wetu.
ReplyDeleteZiara ya siku mbili au masaa?siku ni masaa 24,huyu bwana hakutimiza
ReplyDeleteni sawa ni 48, jumlisha na yale kwenye ndege kuingia na kutoka nchini
ReplyDelete