Kamishna wa Walipa Kodi Wakubwa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Neema G. Mrema (wa tatu kutoka kulia walioketi) na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) Mhandisi Paul M. Masanja (wa pili kutoka kushoto walioketi) katika picha ya pamoja baada ya kikao cha wataalamu wa taasisi hizo mbili kujadili mikakati ya kuboresha ukusanyaji kodi kutoka sekta ya madini. Kikao hicho kimefanyika Julai 2, 2013 Giraffe Ocean View Hotel, Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2013

    Hivii kuuliza sio ujinga, Inamaana wanakusanya kodi kwa woooote kabisa ama? Na ninani anatakiwa kulipa kodi jamani ebu nielewesheni wandugu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...