Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye miwani) akimsikiliza Bi. Dina Lemmens akimweleza matarajio yake ya kutembelea vivutio mbalimbali Tanzania. Bi. Dina akiongozana na Kikundi cha Watalii saba watatembelea Tanzania na wakirudi Watashirikiana na Ubalozi kuitangaza Tanzania Ubelgiji. Bi. Dina akifuatana na Bi. Doreen Mwansi walimtebelea Balozi Kamala ofisini kwake, Brussels - Ubelgiji leo.
Home
Unlabelled
Balozi Kamala azungumza na Dina Lemmens
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Bora leo ile tie ya bendera imepumzishwa.
ReplyDeleteMdau wa Kwanza hivi kweli wewe ni Mwenzetu?
ReplyDeleteAu wewe ni mmoja wa mabaki ya Wakimbizi wanaorudi kwao Rwanda kwa Kagame?
Ile ndio tie ambayo wengi wetu wa Watanzania 'kamili' tunge penda tuwakilishwe na Mabalozi nchi za nje wanaovaa Tie za rangi ya Bendera yetu!!!
Nina wasiwasi na Uraia wa Mtoa maoni wa kwanza!
ReplyDeleteAu wewe ni katika wale walio amrishwa na Raisi Kikwete warudi nchini kwao?
Kwani la Balozi Kamala alikwambia anayo tai ya bendera moja tu sandukuni kwake?, anaweza kuwa nazo nyingi tu.
Kuna ubaya gani kwa Balozi wa nchi kuvaa tai ya bendera ya nchi yake?