Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akipokelewa na Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali Mhe. Ludovick Uttoh, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya PAC Mhe. Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa SADCOPAC Mhe. Sipho Makama kutoka Afrika Kusini alipokuwa akiwasili katika Ukumbi wa AICC Arusha kufungua Mkutano wa Mwaka wa SADCOPAC kwaniaba ya Rais Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya PAC Mhe. Zitto Kabwe akitoa salam za ukaribisho kwa wajumbe wote wa SADCOPAC.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkaribisha mgeni rasmi kufungua mkutano wa Mwaka wa SADCOPAC katika ukumbi wa AICC mjini Arusha.
Wajumbe wa mkutano wa SADCOPAC katika mkutano huo leo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...