Wachezaji wa Taifa Stars wakiwa mazoezini Banjul, Gambia jana (Ijumaa) usiku tayari kwa mechi ya leo dhidi ya Gambia itakayochezwa saa moja na nusu kwa saa za Afrika Mashariki na saa kumi na nusu kwa saa za Gambia.Taifa Stars inadhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania,kupitia bia yake ya Kilimanjaro.
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa (Taifa Stars),Kim Poulsen akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi hayo.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...