Meneja wa Data wa Benki ya Stanbic Tanzania, Ally Masoud (wa tatu kushoto), akimkabidhi Muasisi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Watoto Wetu Tanzania, Evans Tegete mfano wa hundi ya thamani ya Sh. Milioni 20, ikiwa ni muendelezo wa benki hiyo kusaidia ujenzi wa madarasa kwenye kituo hicho kilichopo kijiji cha Mazizi kata ya Msata mkoani Pwani hivi karibuni. Benki ya Stanbic imekuwa ikisaidia kituo hicho kuhakikisha watoto wenye mahitaji maalumu wanapata elimu bora. Wengine ni wafanyakazi wa benki ya Stanbic pamoja na wafanyakazi na watoto wa kituo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...