Msanii wa Muziki wa Kughani Mrisho Mpoto akizungumza na Wazee wa Karagwe Mkoani Kagera wakati wa kampeni yake ya kuhamasisha ujenzi was vyoo Bora inayojulikana usichukulie poa nyumba no choo
Msanii wa Muziki wa Asili Mrisho Mpoto akiwa ameketi na Wanafunzi wa Karagwe waliofika kugatilia kampeni za Nyumba ni choo.
Mmoja ya Wakazi wa Karagwe Mkoani Kagera akimpigia magoti Msanii Mrisho Mpoto Kama ishara ya Heshima kwake kwa kazi anazofanya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...