RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Uzinduzi wa Mradi wa Jengo la Hospitali ya Maradhi ya Akili Kidongochekundu Zanzibar akiwa na  Mfadhili wa Mradi wa ujenzi huo.Bw.Trond Mohn,  Mradi huo umefadhiliwa kupitia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Haukeland Nchini Norway na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Hospitali hiyo Kidongochekundu leo 18-11-2021.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kulifungua Jengo la Hospitali ya Maradhi ya Akili Kidongochekundu Jijini Zanzibar akiwa nan a Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Mhe. Nassor Ahmed Mazrui  na Wafadhili wa Mradi huo Bw. Trond Mohn na Mkewe. Mradi huo umefadhiliwa kupitia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Haukeland Nchini Norway na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea jengo la Watoto la Maradhi ya Akili katika Hospitali ya Kidogochekundi Zanzibar baada ya Kuyazindua leo 18-11-2021.yaliojengwa kwa Ufadhili kupitia Chuo Kikuu cha Haukeland Norway na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui, akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuzungumza na Wananchi, wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Jengo la Hospitali ya Maradhi ya Akili Kidongochekundi Zanzibar.




RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Mfadhili wa Hospitali ya Maradhi ya Akili Kidongochekundu Bw. Trond Mohn akiwa na mkewe, baada ya kumalizika kwa hafla ya ufunguzi wa majengo ya Hospitali hiyo leo 18-11-2021.(Picha na Ikulu)
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...