MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imekizuia chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kufanya shughuli zozote zile za kisiasa na kutumia mali zake mpaka pale kesi ya msingi namba 8323/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Zanzibar, Said Issa na wenzake wawili itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.
Uamuzi huo umetolewa leo na Jaji Hamidu Mwanga. huku CHADEMA ikikosa muwakilishi wa kisheria baada ya Wakili wake, Jebrah Kambole aliyekuwa akisimamia kesi hiyo kujitoa kabla ya kutolewa uamuzi akidai kutosikilizwa kwa hoja zao.

Uamuzi huo umetolewa leo na Jaji Hamidu Mwanga. huku CHADEMA ikikosa muwakilishi wa kisheria baada ya Wakili wake, Jebrah Kambole aliyekuwa akisimamia kesi hiyo kujitoa kabla ya kutolewa uamuzi akidai kutosikilizwa kwa hoja zao.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...