Home
Unlabelled
banza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hongera sana Banza ,Mungu akuzidishie maisha marefu tulikuombea sana watanzania wakati u mgonjwa na maombi yetu yamesikika. nakutakia afya njema ila tu uache kuvuta sigara jamani we uliumwa TB sasa sigara na TB wapi na wapi?EBO
ReplyDeletehongera sana Banza ,Mungu akuzidishie maisha marefu tulikuombea sana watanzania wakati u mgonjwa na maombi yetu yamesikika. nakutakia afya njema ila tu uache kuvuta sigara jamani we uliumwa TB sasa sigara na TB wapi na wapi?EBO
ReplyDeleteacha kuvuta sigara wewe BANZA utajiua bure kijana.....mbona hujihurumiii.
ReplyDeleteJana nilikuwa ktk bonanza la Twanga pale leaderz club.Upinzani ni mkubwa sana kati ya Twanga pepeta na Twanga chipolopolo, huu upinzani unasaidia kukuza ubora wa nyimbo zao, lakini hawa jamaa wanakoelekea inaweza kuwa balaa maana Diouf alikuwa ana lalamika kwamba jamaa wa Twanga pepeta wiki iliyopita walimtangazia kwamba yeye si Mtanzania bali ni mkenya, basi wiki hii alikuwa anawapaka sana jamaa lakini hakutaja jina
ReplyDeleteAmepata nafuu..manake nasikia ameshayakanyaga mawaya
ReplyDeletejamani banza namkubali hapa kweli anakipaji.... endelea baba....kamua...
ReplyDeletehivi jamani kuna yule profeshenali kibodi wa Twanga wa sumbawanga nadhani anaitwa mkambi yu wapi maana sijamsikia twanga.....YUPO??? Banza waambie bwna hujafa hujaumbika
Mr. Chuzi's tunaomba picha pia za wazee wa pamba,wazee wa kiwango(TBS)FM ACADEMIA.
ReplyDeleteyeah, yuko fit kwa muda tu!!
ReplyDeleteNapenda sana kiswahili maana kwa maneno mafupi tu ujumbe wote unafika. Kama hapa ni kweli hujafa hujaumbika.Dunia ni mvingo, .....nk
ReplyDeleteBanza acha sigara, fatilia matibabu, umekanyaga mawaya au la halitishi hilo siku hizi ili mradi uhudumiwe inavyo stahili. Maisha ni mstari kila mtu anawake!
Nachukia watu wanafurahia maafa ya wengine. Anon hapo juu eti "yuko fit kwa muda tu" yes huo muda si wewe uta upanga ni Mungu!
You could as well go first who are U shiiiiiiiiit!!
Banza bado bwana, msimfagilie yuko fiti, sasa ndio kakazana kweli kubwia miunga yake, ila pombe kajitahidi kaacha. Jamani sijui hata atokee nani amwambie,labda malaika, tena afya yake sasa inavutia lakini jamaa unga naona haachi. Haya sasa hizo dozi zitafanya kazi sawasawa kweli. mi inaniuma sana lakini shauri yake
ReplyDeleteNyie mnakazania sigara sigara...njooeni mitaa ya Mwenge anapush unga huyo kama hana akili nzuri na kicorolla chake. Yaani unga live live halafu anayewakingia kifua wauzaji ni Mwanajeshi tena wa kike. usiulize zaidi na polisi wanajua soo tupo bondo tz
ReplyDelete"Tunamtaka Banzaa, atuimbie, tunamtaka Banzaa tucheze nae"
ReplyDeleteINYATAAD: Mzee wa Euro, good to see u again.
jamani ndugu zangu kama mnawajua hao pushers wa mwenge mkawaripoti central,leo anayebwia ni banza kesho atakuwa mwanao,dadako,kakako,etc,inauma sana tushirikiane tuondoe adha hii.
ReplyDelete