nyota njema huonekana asubuhi ni msemo unaokwenda sanjari na wasanii hawa chipukizi marlaw wa kigongo cha 'bembeleza' (shoto) na ali kiba anayetamba na 'cinderella' ambao tayari wameshawasha indiketa ya kupishwa njia kuelekea ustaani. na endapo kama kazi zao hizo za awali si nguvu za soda, basi waliotangulia wakae mkao wa kupitwa kama wamesimama vile. hii ni kutokana na ukweli kwamba muziki wao ni urijino na wenye mahadhi sio tu mapya bali pia ni ya kipekee... sikiliza songi la ali kiba hapo chini. wa marlaw nawatafutia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. sasa kiba si aje kutumbuiza na kwa bibi yake huku kigoma kabla hajachuja..? au ndo kalewa madaraja ya manzese kama brazake michu..!

    ila braza utambulisho wako hapo juu sio vesa vaisi kweli, au vaisi vesaaaa?

    ReplyDelete
  2. Ise Cendlerra ni wimbo mkali sana.
    Unapatika hapa

    http://www.youtube.com/watch?v=ia_xd2nUONQ

    ReplyDelete
  3. Mboni kwene hio video naona watu kama akina p. didi? au mecho yangu yanaitaji miwani nini?

    ReplyDelete
  4. Jamani Ali Kiba is hot !

    ReplyDelete
  5. Dah mwanangu kweli hiyo ni vaisi vesa Ali kiba ni aliye kushoto na marlaw ni huyo mfupi

    ReplyDelete
  6. Shiiii!!!!!
    Wimbo kwa kweli wa cinderella naufagilia sana na ni mkali sana.Ila kaka hilo pozi la huyo mshikaji mwenye shati jeupe sijui ndo Ali kiba ua marlaw (huyo mfupi) limeniacha sina mbavu.Yani nimekumbuka miaka ya 90's tulivyokuwa shule.Yani hapo akinyoosha tu mkono na kupiga dole tu,baaasi kamaliza mchezo.Mwaka 47
    Wa majita Bugunda

    ReplyDelete
  7. Nimetumiwa CD ya nyimbo mpya za bongo, sio siri, almost all of them zinafanana. Utadhani mtunzi, mwimbaji na produza ni mmoja ktk nyimbo zote

    ReplyDelete
  8. ALIKIBA vua shirt basi tuone kifua chako ....kaka u r HOOOOT like FIRE!!! and u know that.

    ReplyDelete
  9. lol jamani alikiba uko hot sana anyway he is ma boo sina taabu hey guyz mshangilieni jamani,thankx.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...