Home
Unlabelled
exim
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
SIJUI NI KWA NINI HILO JENGO HALIJAKAA SAWA KUFUATA MTAA LIKO KAMA LIMEKAA UPANDE MMOJA UMEINGIA NDANI YA KIWANJA SANA (HALIKO SAMBAMBA NA MTAA). SIJUI KUNA WATAALAMU WANAWEZA KUTUAMBIA NI KWANINI WAMEJENGA HIVYO?
ReplyDeleteHIKO JENGO HAPO MBELE JEUPE NDIO JENGO GANI?
ReplyDeletejengo jeupe mbele hapo ni RAHA TOWERS.liko mkabala na mahakama ya kisutu.
ReplyDeletedu acha hizo, wewe passport uliipatia wapi? hilo jengo jeupe ni wizara ya mambo ya ndani na usalama wa raia...ndani yake kuna ofisi za uhamiaji makao makuu...nilipanga foleni hadi nusura nife wakati naomba passport yangu...
ReplyDeletehapo ni ofisi za uhamiaji...wewe passport yako uliipatia wapi?
ReplyDeletemdau - uk
kwa anyejua atuambie hilo jengo litakuwa na ghorofa ngapi maana hapo tuu linaonekana litakuwa the tallest building in Tanzania
ReplyDeleteWamekalia kujenga maghorofa tu maji yakupeleka kwenye hayo maghorofa hakuna,vyoo vichafu.
ReplyDelete