Home
Unlabelled
pinda atembelea maonesho ya teknolojia geneva
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Pinda mbona umevaa suti? Nilifikiri kauli yako kuhusu mavazi unaitekeleza kwa vitendo!!!!!!!!
ReplyDeleteHuyu PM si ndo juzi tu alisema watu wasivae suti, sababu nchi yetu maskini...! Sasa yeye kavaa nini? Au ndo anahubiri maji kisha yeye mwenyewe anakunywa bia! Viongozi wa Tanzania ni wasanii tu, hakuna mwenye dhamira ya kweli ya kuwakomboa watanzania wanaoishi kwa kubahatisha! Wote wapo kwa maslahi ya matumbo yao na familia zao basi! Lakini kilicho kizuri ni mwisho wa siku wote tutakufa tunarudi kwa muumba mikono mitupu! Mungu ashukuriwe yeye hapokei rushwa wala hana upendeleo!
ReplyDeleteKatika picha ya pili, ni mheshimiwa Pinda akiweka SAHIHI au akiweka SAINI? Kwani nijuavyo mimi kuweka sahihi ni kuweka kitu pahala pake kutoka pahala ambapo si sahihi...naomba nikosolewe.
ReplyDeleteInapendeza sana. Ila mzee wa 'sera ya mavazi' inaelekea alisahau kubeba suti ya kiBongo au bado yuko katika boksi analotaka kujitoa lakini anakwama au anakwamishwa!! ingependeza zaidi!!
ReplyDeletei like that tekelinaokujia
ReplyDeleteMkuu wa Wilaya ya Nanihii, kama hatuna vazi la kitaifa basi angalau tukubaliane rangi za kusona hasa kunapokuwa na uwakilishi wa Taifa au kitaifa nje ya nchi.
ReplyDeleteKombinesheni ya rangi hizo mbona ni kama bendera ya nchi fulani?
Pinda anatuchezea akili sasa. mbona bado anavaa suti badala ya mashati ya vitenge na batiki? tena ameshindwa na hata hao vijana hapo waliovalia mavazi ya vitenge.
ReplyDeleteMsameheni waziri mkuu alikosa cha kuhutubia...... nilimuona akihojiwa na ABC kuhusu ALBINO... you can just tell alikuwa hajajiandaa.....alikosa cha kuongea.... alichemsha sana
ReplyDeleteHuyu Pinda mzushi tu! ameulizwa na mwandishi wa abc news kwa nini hakuna aliyefikishwa mahakamani kwa mauaji ya albino two yrs now?eti anajibu we dont have resources! punguzeni ufisadi resources mnazo, kwanza hayo magari ya kifahari mnayopeana wabunge mnatoa wapi hela ya kuyanunulia? na hayo masafari ya kila siku nje? ungekua una mtoto albino ungeziona resources haraka!
ReplyDeleteYaani ina maana Pinda amesahau wale jamaa watatu waliohukumiwa hivi majuzi kifo kwa mauaji ya maalbino? Si angetoa hiyo kama mfano kwamba serikali imeendesha kampeni kali, baadhi ya wahusika wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kuna wengine tayari wameisha hukumiwa!
ReplyDeleteAlishindwa kusema hata hilo jamani?
anon wa Oct 7, 10:29 pm,
ReplyDeletemahojiano ya Pinda na ABC 20/20 yalifanyika kabla ya hukumu ya kesi. mwishoni mwa kipindi cha ABC 20/20 ilielezwa kwamba kuna some progress baada ya watuhumiwa watatu kuhukumiwa kunyongwa.