Timu ya mpira wa miguu (soka) ya Bongofleva Fc inatarajia kushuka dimbani siku ya jumapili mjini Dodoma,ambapo itakwaana vilivyo na kombaini ya Wanavyuo Dodoma katika uwanja wa Jamuhuri.Aidha kwa sasa timu ya Bongofleva FC inajifua katika viwanja vya Lidaz,Kinondoni jijini Dar, kwa mujibu wa kiongozi wa timu hiyo Rich One.
Home
Unlabelled
bongofleva fc kukipiga na wanavyuo dodoma kesho jumapili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...