Timu ya mpira wa miguu (soka) ya Bongofleva Fc inatarajia kushuka dimbani siku ya jumapili mjini Dodoma,ambapo itakwaana vilivyo na kombaini ya Wanavyuo Dodoma katika uwanja wa Jamuhuri.Aidha kwa sasa timu ya Bongofleva FC inajifua katika viwanja vya Lidaz,Kinondoni jijini Dar, kwa mujibu wa kiongozi wa timu hiyo Rich One.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...