Vijana wa Clouds Tv wakiwa ndani ya viwanja vya Carnival jijini Nairobi mchana huu ambako ndiko tamasha la Tusker All Stars 2011 linafanyika,wao kama mambo yatakwenda sawa basi inshaalah watakuwa live kupitia Clouds TV. Kulia ni Razak na shoto ni Raymond wakiwa pamoja na Mehboub al Hadad ambaye ndiye fundi mitambo mkuu wa Clouds TV tayari  kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...