Shirikisho la ngumi Tanzania (BFT) kwa kupitia chama cha  waamuzi wa ngumi za ridhaa wameteua na kuwadhibitisha waamuzi watakao tumika katika mashindano ya ubingwa wa Taifa yatakayofanyika kuanzia tarehe 17-22/09/2012 uwanja wa taifa wa ndani.

Waamuzi walioteuliwa ni:-
Mohamed Kasilamatwi mwamuzi wa kimataifa na Juma Selemani mwamuzi wa Afrika kama wasimamizi wa waamuzi.

Waamuzi wa ngazi ya taifa walioteuliwa ni:-
Maneno Omari, Ridhaa Kimweli. Mohamed Bamtulla, Shija Masanja. Mafuru Mafuru, Moshi makali. Hamza abdallah  na Marko Mwankenja.

MAKORE MASHAGA  
(KATIBU BFT) 0713588818

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...