Rais Kikwete akiwa mgeni rasmi katika mpambano wa soka wa ujirani Mwema kati ya mahasimu wakubwa katika hifadhi ya Taifa ya Serengeti, hoteli za kitalii za Four Seasons Safari Lodge na Serena Serengeti Lodge ambapo mshindi aliibuka Serena kwa mabao 5-4, baada ya kupigiana penati baada ya kutoka sare ya 1-1 katika dakika za kawaida.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...