Mhe. Waziri wa Fedha Dkt. Wiliam Mgimwa akitia saini kitabu cha wageni kwenye Ubalozi wa Jamhuri ya Tanzania, Washington, DC Jumamosi April 20, 2013 baada ya Ubalozi kumualika kwenye chakula cha yeye na ujumbe wake.
Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Lily Munanka akiamuangalia Mhe. Waziri wa Fedha Dkt. Wiliam Mgimwa akitia saini kitabu cha wageni, Ubalozi wa tanzania nchini Marekani uliopo Washington, DC.
Kutoka kushoto ni Afisa Ubalozi Suleiman Saleh, Mhe. Waziri wa Fedha Dkt. Wiliam Mgimwa, Kaimu Balozi Mhe. Lily Munanka na Afisa Ubalozi Paul Mwafongo katika picha ya pamoja na Mhe. Waziri
Nikikumbuka maoni ya kaka benja mwaipaja ktk kijiwe chetu, alisema wakubwa wakija huku kama muda unaruhusu wakutane najumuiya walau waweze kusikia waliyonayo.
ReplyDeleteKida lo Munanka! Eni ni Munawomi! I love your name Ms Honorable!
ReplyDelete