Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Iddi akimkabidhi Kikombe cha Zawadi ya Mshindi wa kwanza wa jumla wa Maonesho ya Nane Nane Kitaifa, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Mlasani Kimaro akipokea kwa niaba ya Kamishna Jenerali wa Magereza katika Kilele cha Sherehe za Maonesho ya Nane Nane, yaliyofanyika Uwanja wa Nzuguni, Dodoma
 
 Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro akinyanyua Kikombe  cha Ushindi wa Jumla katika Kilele cha Maonesho ya Nane Nane Kitaifa yaliyofanyika Nzuguni Dodoma na yamefungwa rasmi na Balozi Seif Iddi, Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(
 Makamanda wa Jeshi la Magereza walioshiriki Maonesho ya Nane Nane Kitaifa wakifurahia ushindi walioupata kuwa Mshindi wa kwanza wa jumla katika Maonesho ya Wakulima  - Nane Nane yaliyofungwa rasmi na Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Balozi Seif
 
Baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza walioshiriki Maonesho ya Nane Nane Kitaifa wakifurahia ushindi wa kwanza wa jumla wa Maonesho hayo huku wakiinua juu Makombe ya ushindi huo baada ya kukabidhiwa rasmi na Mgeni Rasmi
Picha  zote na  Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...