Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Fakih Jundu akimuapisha, Mhe. Dustan Ndunguru kuwa Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, kabla ya uteuzi wake Mhe. Ndunguru alikuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Mkoa Lindi.
Jaji Kiongozi Mhe. Fakih Jundu akimuapisha Mhe. William Mutaki kuwa Naibu Msajili Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kabla ya uteuzi wake Mhe. Mutaki alikuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mahakama ya Jiji.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Fakih Jundu akimpongeza Mhe. Francis Kabwe kwa shada la maua, Mhe. Jaji Kiongozi ameaapisha jumla ya Wahe. Watano walioteuliwa kuwa Wasajili katika ngazi za mbalimbali za Mahakama. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania).


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...