Hapa ni studio za OM Productions Kinondoni Mkwajuni jijini Dar es salaam wakati mwanamuziki wa Kizazi kipya Hafsa Kazinja alipokuwa anakamirisha kurekodi ngoma ya 'Nimuokoe nani' ya NUTA Jazz band katika kumuenzi mkongwe Muhidin Maalim Gurumo ambaye amestaafu. Waliomsaidia kurekodi ngoma hii ambayo imemrudisha katika chati ni wakongwe Omary Mkali na Abdul Salvador a.k.a Father Key Devu...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Jamani watanzania turudishe miziki yetu ya zamani ili tuwaenzi na pia utamaduni.Safi hafsa

    ReplyDelete
  2. Big up dada Hafsa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...