Kikao cha kwanza cha Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar chakutana chini ya mwenyekiti wake Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ofisini kwa Vuga Mjini Zanzibar.
Balozi Seif akikiongoza Kikao cha Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar akisaidiwa na Makamu Mwenyekiti wake kulia, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Moh’d Aboud Moh’d.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar Nd. Ali Juma Hamad aliyesimama akitoa Muhtasari wa Sheria ya Kamisheni hiyo kwenye Kikao cha kwanza Wajumbe wa Kamaisheni hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...