Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Joyce Msiru akisalimiana na mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga aliyekuwa mgeni rasmi katika kikao cha wadau wa maji cha kupokea maoni kilichofanyika ukumbi wa KKT -Himo. 
Mwenyekitiwa Bodi ya wakurugenzi MUWSA,Sharry Raymond (MB) (Katikati) akiwa na Mwenyekiti wa mji mdogo wa Himo Hussein Jamal (Kulia) pamoja na Afisa mtendaji wa mamlaka ya mji mdogo wa Himo,William Mseo (Kushoto). 

Baadhi ya Viongozi kutoka Menejimenti ya MUWSA pamoja na wawakilishi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika kikao hicho. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...