Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la MichezoTaifa (BMT) Bw. Mohamed Kiganja akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani akielezea Semina ya masoko na wadhamini wa Michezo Nchini katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es salaam kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Pro- Event Masters Ltd Bw. Henry Tandau.
Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Pro- Event Masters Ltd Bw. Henry Tandau akiongea na waandishi wahabari hawapo pichani akielezea Semina ya masoko na wadhamini wa Michezo Nchini katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es salaam kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la MichezoTaifa (BMT) Bw. Mohamed Kiganja.PICHA ZOTE NA ALLY DAUD-MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...