Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya mauaji ya halaiki ya Rwanda (ICTR) Jaji Hassan B. Jallow anayemaliza muda wake. Jaji Jallow alifika ofisini kwa Mhe. Mwakyembe leo (17/3/2016) kwa ajili ya kumuaga rasmi.
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya halaiki ya Rwanda (ICTR) Jaji Hassan B. Jallow (kulia) anayemaliza muda wake akifurahia jambo na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe alipomtembelea leo (17/3/2016)ofisini kwake kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake wa kazi kwenye Mahakama hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...