Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya mauaji ya halaiki ya Rwanda (ICTR) Jaji Hassan B. Jallow anayemaliza muda wake. Jaji Jallow alifika ofisini kwa Mhe. Mwakyembe leo (17/3/2016) kwa ajili ya kumuaga rasmi.
Home
Unlabelled
JAJI JALLOW AMUAGA WAZIRI MWAKYEMBE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...