Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu cha maombelezo ya aliyekuwa Rais
wa nchi hiyo na mpigania ukombozi Fidel Castro aliyefariki dunia novemba
25,2016 mjini Havana, aliyesimama kushoto ni Balozi wa Cuba nchini
Balozi Jorge Luis Lopez Tormo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu cha maombelezo ya aliyekuwa Rais
wa nchi hiyo na mpigania ukombozi Fidel Castro aliyefariki dunia novemba
25,2016 mjini Havana.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...