Mkurugenzi wa Shughuli za Bunge, Ndg. Nenelwa Wankanga akifungua semina ya Jinsi ya kukabiliana na Vihashiria hatarishi ndani ya Ofisi ya Bunge kwa Wakurugenzi, Wakurugenzi wasaidizi, Wakuu wa Vitengo na baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Bunge iliyoanza leo katika kumbi za Bunge Mjini Dodoma.
Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakifuatilia semina iliyotolewa na Wahadhiri waandimizi kutoka Chuo kikuu cha Mzumbe Jinsi ya kukabiliana na Vihashiria hatarishi ndani ya Ofisi ya Bunge, iliyofanyika leo katika kumbi za Bunge Mjini Dodoma.
Mhadhiri Mwandamizi kutoka Chuo kikuu Mzumbe, Ndg. Alloyce Maziku akizungumza na Wakurugenzi, Wakurugenzi wasaidizi, Wakuu wa Vitengo na baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakati akitoa maada katika semina ya Jinsi gani ya kukabiliana na Vihashiria hatarishi ndani ya Ofisi ya Bunge iliyofanyika leo katika kumbi za Bunge Mjini Dodoma.
Baadhi ya Watumishi wa Bunge wakifuatilia semina iliyotolewa na Wahadhiri waandimizi kutoka Chuo kikuu cha Mzumbe Jinsi ya kukabiliana na Vihashiria hatarishi ndani ya Ofisi ya Bunge, iliyofanyika leo katika kumbi za Bunge Mjini Dodoma.PICHA NA OFISI YA BUNGE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...