--
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti, Omary Kumbilamoto akizungumza kabla ya kukabidhi Mitaji na Vifaa vya Michezo kwa Vikundi vya Kinamama na Vijana vya Kata ya Vingunguti hili viweze kuchochea Maendeleo katika Kata hiyo.
Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi Cuf kata ya Buguruni, Mbegu Simba akizungumza namna Diwani wa kata hiyo kwa tiketi ya chama chake anavyotekeleza ahadi alizoahaidi. 
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti, Omary Kumbilamoto akikabidhi zawadi ya jezi za Mpira wa Miguu kwa Mwanamuziki wa Singeli Nchini Msaga Sumu kwa ajili ya Timu ya Misosi inayoshiriki Ndondo Cup.
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti, Omary Kumbilamoto akikabidhi mizani ya kupimia mchele kwa Kikundi cha Vicoba cha wanawake kata ya Vingunguti.
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti, Omary Kumbilamoto akikabidhi mabirika na chupa kwa mmoja wa wadu wa kijiwe cha Kahawa katika kata ya Vingunti ambe msingi wake ulichukuliwa na maji.
 sehemu ya Wanawake wa Vikundi Mbalimbali wakiwa wamekusanyika nyumbani kwa Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti, Omary Kumbilamoto kwa ajili ya kupokea uwezeshwaji wa Maendeleo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...