Na Khadija Seif ,Globu ya jamii

Msemaji wa timu ya Simba Haji Sunday Manara ametoa  zawadi ya jezi pamoja na mipira kwa shule zote za Kata ya Tandale na kutoa wito kwa wazazi kutowanyima fursa watoto wao ambao wanavipaji ili kuwa mfano mzuri kama alivofanya msanii huyo Daimond Platinum .

Aidha amewapa taarifa rasmi atashirikiana bega kwa bega kwa wana michezo wa kata hiyo kuanzisha michuano ya Tandale Cup na kutoa fedha ya taslim kwa mshindi wa kwanza shilingi million 1, na kwa mshindi wa pili na watatu .

Manara ametoa fursa kwa Wanafunzi wa ulemavu wa ngozi pamoja na viungo kuwalipia ada mwakani kwa Wanafunzi watakaoingia kidato cha kwanza na darasa la kwanza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...