Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Mbunge wa Viti Maalum, Vicky Kamata kwenye uwanja wa Ndege wa Mwanza wakati aliposhiriki katika mapokezi ya mwili wa Paulina Kasama Selemani ambaye ni mama mzazi wa Mbunge huyo, uliosafirishwa kwa Ndege kutoka Dar es salaam kwenda Geita kwa mazishi, Machi 19, 2019. Watatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo ambaye ni kaka wa marehemu na kulia ni Mume wa Mbunge huyo, Dkt. Servicius Likwelile. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...