Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Mbunge wa Viti Maalum, Vicky Kamata kwenye uwanja wa Ndege wa Mwanza wakati aliposhiriki katika mapokezi ya mwili wa Paulina Kasama Selemani ambaye ni mama mzazi wa Mbunge huyo, uliosafirishwa kwa Ndege kutoka Dar es salaam kwenda Geita kwa mazishi, Machi 19, 2019. Watatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo ambaye ni kaka wa marehemu na kulia ni Mume wa Mbunge huyo, Dkt. Servicius Likwelile. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...