Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiweka
jiwe la msingi, wakati alipozindua jengo la Taasisi ya Kuzuia na
Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, kulia ni
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brig. Jenerali John Mbungo, Januari
13, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa, akikata utepe, wakati alipozindua jengo la
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Ruangwa,
mkoani Lindi, Januari 13, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brig. Jenerali John
Mbungo, wakati alipozindua jengo la Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, Januari 13, 2020.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brig. Jenerali John
Mbungo, wakati alipozindua jengo la Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, Januari 13, 2020.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brig. Jenerali John Mbungo, akizungumza na
wananchi wa Wilaya ya ruangwa, wakati wa uzinduzi wa jengo la Taasisi
ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), lililopo katika Wilaya ya
Ruangwa, mkoani Lindi, Januari 13, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwahutubia wananchi wa Wilaya ya ruangwa,
wakati wa uzinduzi wa jengo la Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
(TAKUKURU), lililopo katika Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, Januari 13,
2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipanda mti, baada ya kuzindua jengo la
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Ruangwa,
mkoani Lindi, Januari 13, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...