Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishna Msaidizi wa Polisi SACP Ramadhan Ng’anzi akipokea tuzo kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe, Khamis Hamza Chilo. Tuzo hiyo imetolewa na Shirika la Matumani kwa Wasichana na Wanawake Kutokana na kutambua mchango wa IGP Sirro katika kupambana na vitendo vya Ukatili. Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika hilo BI. Rhobi Samwelly. (Picha na A/INSP Frank Lukwaro wa Jeshi la Polisi



Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe, Khamis Hamza Chilo akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Dawati la Jinsia kutoka Tanzania bara na Zanzibar baada ya kufungua Kikao chao cha mwaka kinachofanyika mkoani Mwanza. (Picha na A/INSP Frank Lukwaro wa Jeshi la Polisi



Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe, Khamis Hamza Chilo akizungumza katika ufunguzi wa kikao cha tatu cha mwaka kwa Watendaji wa Dawati la Jinsia kutoka Tanzania bara na Zanzibar kinachofanyika mkoani Mwanza. (Picha na A/INSP Frank Lukwaro wa Jeshi la Polisi



Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe, Khamis Hamza Chilo akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Dawati la Jinsia kutoka Tanzania bara na Zanzibar baada ya kufungua Kikao chao cha mwaka kinachofanyika mkoani Mwanza. (Picha na A/INSP Frank Lukwaro wa Jeshi la Polisi



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...